Muziki na Maisha Autobiography by Sugu

TSh 30,000

#B3707

Maelezo

MUUNDO: KITABU KURASA: 149 LUGHA: KISWAHILI Kitabu cha MUZIKI NA MAISHA kinajibu maswali yote uliowahi kujiuliza kuhusu Maisha ya Joseph O. Mbilinyi “Sugu” katika Safari yake ya Maisha kutoka kuzaliwa, Harakati za Muziki wa HipHop/Bongo Flava mpaka kuingia Bunge la Jamhuri wa Muungano Tanzania.

au

Bidhaa Zinazofanana